
Makubwa! Aliyekuwa mume wa nyota wa Filamu za Bongo,
Wastara Juma ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Donge (CCM), Zanzibar,
Sadifa Juma ameibua jambo zito miongoni mwa jamii akidai kuwa, mtalaka
wake, Wastara Juma amekuwa
akimroga, twende na Risasi Jumamosi.Madai
hayo aliyatoa Alhamisi iliyopita baada ya gazeti hili kumuuliza habari
zilizoenea kwamba, amemuangukia Wastara akitaka warudiane kwani
yaliyopita si ndwele.
0 comments:
Post a Comment