Subscribe to:
Post Comments (Atom)
![]() |
| Siwema, Hata
kama unamchukia mtu kiasi gani ukisikia katupwa rumande roho ya huruma
itakuvaa unless moyo waako uwe wa chuma, eti wajameni tuambieane nini
haswa kilimkuta huyu dada,nasiikia tu makosa ya mtandaoni ila sina
uhakika mwenye uhakika atuambie, daaah kama ni makosa ya mtandaoni TCRA
itawanyoosha wengi, hivi kwanini mtu anafungua fake account na kumtukana
mtu? mbona sisi tuna blog live na majina yetu mnayajua yaani mie mtu
ukijificha nyuma ya pazia nafahamu unaniogopa kama kweli unataka
kunisuta/kuniambia ukweli ni face mie mwenyewe sio kufungua acc fake all in all please kwa anayefahamu yamemkuta yapi dada Siwema atuambie. Posted by CEO Sintah (Unstoppable) |
0 comments:
Post a Comment