Monday, April 11, 2016

Kwa mujibu wa Diva wa Muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee, ni kwamba hawakuwahi kuonana na Diva mwenzie Ray C kwa zaidi ya miaka 6.

Sasa juzi wakali hawa wamekutana tena, japo haijawekwa wazi ni wapi lakini furaha ya Jaydee Hit maker wa Ndindindi ilikuwa kubwa kiasi cha kuandika ujumbe mzito Instagram.


BOFYA HAPA KUONA KAULI YA LADY JAY DEE

0 comments:

Post a Comment