Posted by Williammalecela.com on Sunday, April 10, 2016
Kumekua
na stori zinaendelea mitandaoni na hasa ni baada ya Mwigizaji Wema
Sepetualiyekaa sana kwenye vichwa vya habari hivi karibuni kwa kuwa
mapenzini na mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014 Mtanzania
Idris Sultan ambapo stori hizo ni baada ya Wema kuonekana akimbusu
mwanaume.
0 comments:
Post a Comment