Monday, April 25, 2016

2111749
Mwanamuziki mkongwe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Papa Wemba amefariki Jumapili hii baada ya kuanguka jukwaani wakati akitumbuiza.

Muimbaji huyo maarufu amefariki akiwa Abidjan, Ivory Coast amefariki baada ya kuanguka ghafla wakati akitumbuiza kwenye tamasha la muziki la Anoumabo (FEMUA). Inadaiwa kuwa alishikwa na kifafa.
Papa Wemba ambaye jina lake ni Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba, amefariki akiwa na umri wa miaka 66.

CHANZO na Bongo5.

0 comments:

Post a Comment