Posted by Williammalecela.com on Friday, April 22, 2016
 |
Wabunge wa upinzani wametoka nje kwa madai kuwa serikali ya awamu ya
tano hadi sasa haina 'mwongozo wa kuiongoza nchi' haujatolewa, kwamba
hadi sasa serikali inatumia mwongozo wa awamu ya nne.
Madai mengine ni kupinga ubadilishwaji wa matumizi ya fedha kwa kigezo
cha kubana matumizi bila kushirikisha bunge, hivyo wamesusia hotuba ya
Waziri Mkuu.
|
0 comments:
Post a Comment