Friday, April 22, 2016


Wabunge wa upinzani wametoka nje kwa madai kuwa serikali ya awamu ya tano hadi sasa haina 'mwongozo wa kuiongoza nchi' haujatolewa, kwamba hadi sasa serikali inatumia mwongozo wa awamu ya nne.

Madai mengine ni kupinga ubadilishwaji wa matumizi ya fedha kwa kigezo cha kubana matumizi bila kushirikisha bunge, hivyo wamesusia hotuba ya Waziri Mkuu.



0 comments:

Post a Comment