Monday, May 23, 2016


Staa wa Movie Bongo, Wema Sepetu ambaye amekuwa akizichukua headlines mara kwa mara, Sasa amezidi kupiga hatua nyingine ambayo inamfanya aingie kwenye rekodi kwa kuwa staa wa kwanza Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwa kuanzisha Mobile appilication itakayokuwa ikitoa taarifa mbalimbali za kazi zake na maisha yake.
Wema Sepetu, Muna Alphonce na Idriss Sultan

0 comments:

Post a Comment