Thursday, May 19, 2016

ajali 2
May 19 2016 katika eneo la Shekilango Jijini Dar es salaam imetokea ajali baada ya mwendesha bodaboda akiwa na abiria wawili kwenye pikipiki moja akijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake lakini pikipiki ikamshinda na kuanguka, pikipiki hiyo iliyokuwa imebeba Mama na mwanae.

ajali
20160519_150235
Pikipiki iliyohusika kwenye ajali hiyo
20160519_151845

ajali 4
Shuhuda wa tukio
ajali 5
Mahali mtoto alipogongwa na kufariki.
Mtoto alianguka upande wa barabara za mabasi yaendayo haraka na basi hilo likawa limempitia  na  kusababisha kifo cha chake .

0 comments:

Post a Comment