Posted by Williammalecela.com on Tuesday, May 17, 2016
TABORA:
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameshindwa katika
kesi aliyoifungua kupinga ushindi wa Hasna Mwilima wa CCM.
-Kesi ilifunguliwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora na ilikuwa chini ya Jaji Ferdinand Wambari.
0 comments:
Post a Comment