Story ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Matonya kwa sasa anatoka kimapenzi na Giggy Money huku wakisikika kuwa ni kick ya ngoma yao ya Supu.Katika mahojiano waliyofanya na ENewz wote wawili walishindwa
kukubali moja kwa moja kuwa wameanguka pamoja kitandani au hawajaanguka kitandani lakini walibaki kusifia Supu huku Giggy Money akisema kuwa Matonya kwake ni zaidi ya mpenzi
kukubali moja kwa moja kuwa wameanguka pamoja kitandani au hawajaanguka kitandani lakini walibaki kusifia Supu huku Giggy Money akisema kuwa Matonya kwake ni zaidi ya mpenzi

0 comments:
Post a Comment