Jerry Kato aliyedai kuzaa na mama Diamond.
STORI: Issa Mnally na Mussa Mateja, Ijumaa
Dar es Salaam: Kumekuwepo na usiri juu
ya baba wa mdogo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma
Platnumz lakini huenda utata
ukafika mwisho baada ya aliyekuwa DJ
maarufu jijini Dar kuibuka na kudai kuwa ndiye aliyemzaa mtoto huyo na
mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akimpinga na kuamua kumuweka wazi
baba halali wa Esma.

0 comments:
Post a Comment