Mtu akisafiri ili kuweza kuingia katika nchi nyingine, mara nyingi
huhitajika kutoa Visa pamoja na hati ya kusafiria (Passport).
Lakini kuna baadhi ya nchi zinaweza kukuruhusu kuingia bila vitu hivyo ila zitakupa siku kadhaaa unazoweza kukaa nchini humo. Vilevile kuna nchi ambazo Watanzania wanahitaji passport tu kuingia.
Ifahamike kuwa,baadhi ya nchi hizi huruhusu mtu kuingia bila visa na kukaa hadi siku 90 ambazo utatakiwa uwe umepata visa yako au la utarudishwa kwenu. Zifuatazo ni nchi 73 ambazo Mtanzania anaweza kuingia bila visa.
Lakini kuna baadhi ya nchi zinaweza kukuruhusu kuingia bila vitu hivyo ila zitakupa siku kadhaaa unazoweza kukaa nchini humo. Vilevile kuna nchi ambazo Watanzania wanahitaji passport tu kuingia.
Ifahamike kuwa,baadhi ya nchi hizi huruhusu mtu kuingia bila visa na kukaa hadi siku 90 ambazo utatakiwa uwe umepata visa yako au la utarudishwa kwenu. Zifuatazo ni nchi 73 ambazo Mtanzania anaweza kuingia bila visa.
- Antigua & Barbuda
- Albania
- Armenia
- Azerbaijan
- British virgins Island
- Barbados
- Bangladesh
- Botswana
- Burundi
- Bahamas
- Belize
- Bermuda
- Bolivia
- Cambodia
- Cayman Island
- Cape Verde
- Comoros
- Cook Islands
- Djibout
- Dominica
- Ethiopia
- Ecuador
- Egypt
- Fiji
- Grenada
- Guinea
- Georgia
- Haiti
- Hong Kong
- Jamaica
- Jordan
- Kenya
- Kosovo
- Laos
- Lebanon
- Libya
- Liberia
- Macau
- Malaysia
- Madagascar
- Maldives
- Malawi
- Mauritius
- Micronesia
- Mozambique
- Monserrat
- Mongolia
- Nauru
- Niue
- Nepal
- Namibia
- Nicaragua
- Palau
- Philipines
- Qatar
- Rwanda
- Samoa
- Suriname
- St. Kitts & Nevis
- St. Vincent & Grenadines
- St. Lucia
- Sierra Leone
- Singapore
- Swaziland
- Tuvalu
- Togo
- Turkmenistan
- Trinidad & Tobago
- Timor-Leste
- Uganda
- Vanuatu
- Zambia
- Zimbabwe
0 comments:
Post a Comment