Habari
kubwa ni hii ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam, Wilson
Kabwe kufariki. Wakati mwili wake ukitarajiwa kuzikwa Jumatano ijayo
kijijini kwake Mpinji wilayani Same, Mtoto wa marehemu Geofrey Kabwe
ametaja chanzo cha kifo chake kuwa ni saratani ya tezi dume na
kuharibika kwa ini.
#MWANANCHI Kilichomuua aliyekuwa Mkurugenzi Dar, Kabwe kimetajwa kuwa ni saratani ya tezi dume na kuharibika kwa ini
#MTANZANIA Familia ya marehemu Wilson Kabwe imesema itasimamia mazishi na haihitaji ushiriki wa viongozi wa serikali



0 comments:
Post a Comment