Monday, May 9, 2016

B1Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini  Mhe.Profesa Anna Tibaijuka na Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashilila wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma .

B2Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini  Mhe. Zitto Kabwe akichangia mjadala wa hoja  ya hotuba ya bajeti ya Wizara ya Viwanda , Biashara na Uwekezaji  leo mjini Dodoma.
Picha na MAELEZO-Dodoma.

0 comments:

Post a Comment