Saturday, May 14, 2016

Ni Mei 13, 2016 ambapo Mshindi wa BBA 2014 & Mchekeshaji, Idris Sultan aliungana na wakali wa kuchekesha kwenye show iliyopewa jina la Funny Fellas ambayo ilifanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam.


.
.
.
.
.
.Pichani ni Mchekeshaji Dogo Pepe
.
.
.
.Pichani ni Msanii wa Bongo Fleva, Barnaba akitoa burudani ya nguvu
.
.Navy Kenzo ni miongoni waliohudhuria show hiyo ya Stand Up Comedy iliyopewa jina la Funny Fellas
.
.Pichani ni Mchekeshaji Captain Khalid ambaye alikuwa mshehereshaji wa show hiyo
.
.Pichani ni Mshindi wa BBA 2014 & Mchekeshaji, Idri Sultan akitoa ucheshi wake kwa watu waliohudhuria kwenye show hiyo
.
.Pichani ni Mchekeshaji kutoka (254) Kenya, Chipukeezy akifanya yake
.
.
.
.Pichani ni Mchekeshaji kutoka (256) Uganda, Idring Salvador 
.
.
.
.
.
.Pichani ni Mchekeshaji Captain Khalid
.
.Pichani:Mchekeshaji ambaye amekuwa akikubali sana hasa katika masherehe mbalimbali anaitwa Dogo Pepe

0 comments:

Post a Comment