Thursday, May 26, 2016

MADAWATI
"Zoezi la utengenezaji wa madawati 10,000 katika Halmashauri ya Manispaa Dodoma.

Jimbo la Dodoma lina upungufu wa madawati 11,000.Tunashirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya wadau mbalimbali kutatua changamoto hii na tunatarajia kuanzisha kampeni rasmi ya "MWANANCHI CHANGIA DAWATI"
Zaidi ya Vijana 200 mafundi seremala kutoka maeneo mbalimbali ya Jimbo la Dodoma Mjini wamepata ajira kupitia zoezi hili la kutengeneza madawati.
‪#‎DodomaMpya‬#"





0 comments:

Post a Comment