MKURUGENZI
wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe aliyesimamishwa kazi
na Rais John Magufuli, Aprili 19 mwaka huu amefariki usiku wa kuamkia
leo jijini Dar es Salaam.
Chanzo
cha uhakika kimeuambia mtandao huu kwamba Kabwe alikuwa akisumbuliwa na
maradhi kwa muda mrefu na hivi karibuni, alisafirishwa kwenda India kwa
matibabu. Aliporejea nyumbani, ndipo siku chache baadaye, akakutana na
dhoruba ya kikazi.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment