Saturday, May 21, 2016

kabweMarehemu Wilson Kabwe.
MKURUGENZI wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe aliyesimamishwa kazi na Rais John Magufuli, Aprili 19 mwaka huu amefariki usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha uhakika kimeuambia mtandao huu kwamba Kabwe alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu na hivi karibuni, alisafirishwa kwenda India kwa matibabu. Aliporejea nyumbani, ndipo siku chache baadaye, akakutana na dhoruba ya kikazi.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment