Sunday, May 1, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aongoza maadhimisho ya siku ya wafanyakazi mkoani Mbeya 
Amewataka wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii na wafanye kazi bila hofu na amehaidi kuwa serikali haitomuonea mtumishi yeyote katika ufuatiliaji wa utendaji kazi na uadilifu kazini 
Amehaidi kazifanya kazi changamoto za wafanyakazi ambazo zipo ndani ya uwezo wa serikali ya Mkoa

0 comments:

Post a Comment