Posted by Williammalecela.com on Monday, May 16, 2016
 |
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala akagua ujenzi wa barabara ya Mbeya - Chunya
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amekagua Barabara ya mbeya chunya yenye urefu wa
km 72 na ameridhishwa na ujenzi wa Barabara hiyo na mkakati wa serikali
ni kuendelea na ujenzi wa Barabara kutoka chunya- makongorosi hadi
Rungwa( manyoni) Anekemea vikali tabia ya wananchi kungoa, kuharibu
alama za barabarani na uharibifu wa barabara . Amewataka viongozi wa
vijiji, watendaji wa vijiji na kata wilayani Chunya kutoa ushirikiano
kwa jeshi la polisi na Tanroad kuwakamata watu wanaoharibu Barabara na
kuharibu alama za barabarani |
0 comments:
Post a Comment