Posted by Williammalecela.com on Monday, May 09, 2016
Mrembo huyo aliyeuza nyago kwenye Video ya Wimbo wa Kwetu wa msanii wa Diamond, Irene’ Lynn’.Mrembo
ambaye wiki mbili zilizopita aligeuka gumzo baada ya kudaiwa
‘kuchepuka’ na staa wa
Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Irene’
Lynn’ kisha kuleta mtikisiko kwa mpenzi wa msanii huyo, Zarinah Hassan
‘Zari The Boss Lady’ amefunguka kuhusu ishu hiyo.
0 comments:
Post a Comment