Leo
May 29, Mbwana Samatta ameandika historia mpya kwenye maisha yake baada
ya kuisaidia timu yake ya Genk kushinda mchezo wa fainali ya play off
na hatimaye kufu kucheza michuano ya Ulaya (Europa League).
Samatta
ambaye alianza kwenye kikosi cha kwanza cha Genk ameisaidia klabu yake
kupata ushindi wa magoli 5-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani (Cristal
Arena) dhidi ya Sporting Charleroi.
0 comments:
Post a Comment