Monday, May 9, 2016

Rapa Kanye West na Mke wake Kim K wametumia vizuri fursa ya kula bata Cuba baada ya nchi hio kumaliza tofauti zao na Marekani.

Kanye West alikuwa kwneye mitaa ya Cuba na mke wake Kim K na mtoto wao wa kwanza North West huko Harvana, Cuba.
Kim K alikuwa Cuba kwaajili ya kuhudhuria onyesho la mitindo la Chanel Cruise collection.
 33C8B1BB00000578-3570857-image-a-81_1462273691951-1 33C8B4E000000578-3570857-image-a-86_1462273945345-1 1401x788-spl1245675_003_-1 Kanye Kanye-2
Pata Stori Kirahisi Zaidi,FahamuTv.Com Ipo Instagram>INSTAGRAM

0 comments:

Post a Comment