Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Alex Nkenyenge akimuelezea jambo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda wakati wa hafla ya uzinduzi wa mashindano ya mbio za magari za Alliance Auto MMSC Rally Mzunguko wa Pili jana jijini Dar es Salaam. Ambapo zaidi ya magari 15 yanashiriki katika viwanja vya vilivyopo wilayani Bagamoyo.
Picha na Frank Shija, WHUSM.
0 comments:
Post a Comment