Msanii wa Nigeria, 2Face amekuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kupewa shahada ya heshima na chuo kikuu cha Igbinedion, Okada.
Shahada hiyo ya heshima kwa 2Face alikabidhiwa ikiwa imeambatana na sherehe za kusherekea miaka 17 tangu kuanzishwa kwa chuo hicho.
0 comments:
Post a Comment