Friday, May 20, 2016


.
Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa.
Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo

0 comments:

Post a Comment