Uhusiano
wao umepitia misukosuko mingi ikiwemo kuachana mara kadhaa lakini Idris
Sultan na Wema Sepetu hawajalikatia tamaa pendo lao.
Ni
muda mrefu tangu Idris aandike kitu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu
penzi lake na Wema
baada ya kudai wameamua kuuweka uhusiano wao private
kwa sasa. Lakini sasa mshindi huyo wa Big Brother Africa ameshare ujumbe
mahsusi kwa mpenzi wake huyo.

0 comments:
Post a Comment