Wednesday, May 11, 2016

Kufuatia kuvuja kwa picha za chumba alicholala na kumtia aibu kutokana na mazingira aliyoyaacha, staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Madam’
ameibuka na kuamua kuchukua hatua ya kuushtaki mahakamani uongozi wa Hoteli ya Golden Crest, iliyopo jijini Mwanza.

0 comments:

Post a Comment