Wednesday, May 4, 2016

Muigizaji mwenye wingi wa matukio Bongo, Wema Sepetu ‘Madame’ amekiri kufanyiziwa na vijana wa kihuni hivi karibuni, baada ya kutembezewa kichapo
kisha kuporwa simu na fedha zilizokuwemo ndani ya gari lake, maeneo ya Mbezi Africana.

0 comments:

Post a Comment