Siku
moja baada ya kifo cha dada wa bilionea Erasto Msuya, Aneth imebainika
kuwa msaidizi wa ndani aliondoka saa sita mchana kwa kuacha funguo
nyumba ya jirani. Akizungumza nyumbani kwa dada wa marehemu, Mbezi Juu,
mama mdogo wa marehemu Lilian Benjamin alisema msaidizi huyo alimpigia
simu bosi wake mchana na kumwambia anaondoka na hataendelea na kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment