Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wawekezaji wanaokusudia kuanza uwekezaji katika mgodi wa Mchuchuma na Liganga pamoja na viongozi wa NDC ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2016. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa NDC, Dkt. Chrisant Mzindakaya.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment