Oscar Ndauka, Risasi Jumamosi
DAR ES SALAAM na
mikoani: Inauma sana! Ndilo neno ambalo linafaa kutumika kwa sasa
kufuatia kuibuka kwa mauaji kwa njia ya kuchinja sehemu mbalimbali za
nchi hali inayoibua hofu kwa wananchi, Risasi Jumamosi limechimba na kuibuka na ripoti kamili.
Tukio
bichi kabisa ni lile la Mei 31, mwaka huu kwenye Kitongoji cha
Kibatini, Kata ya Mzizima, Manispaa ya Tanga ambapo watu 8 wameuawa kwa
kuchinjwa shingo kikatili na watu wasiojulikana, madai yakitajwa kuwa ni
kisasi.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZA WOTE WALIOCHINJWA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZA WOTE WALIOCHINJWA
0 comments:
Post a Comment