Saturday, June 4, 2016

1Marehemu Anathe Msuya
Oscar Ndauka, Risasi Jumamosi
DAR ES SALAAM na mikoani: Inauma sana! Ndilo neno ambalo linafaa kutumika kwa sasa kufuatia kuibuka kwa mauaji  kwa njia ya kuchinja sehemu mbalimbali za nchi hali inayoibua hofu kwa wananchi, Risasi Jumamosi limechimba na kuibuka na ripoti kamili.
Tukio bichi kabisa ni lile la Mei 31, mwaka huu kwenye Kitongoji cha Kibatini, Kata ya Mzizima, Manispaa ya Tanga ambapo watu 8 wameuawa kwa kuchinjwa shingo kikatili na watu wasiojulikana, madai yakitajwa kuwa ni kisasi.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZA WOTE WALIOCHINJWA

0 comments:

Post a Comment