PRAY FOR HAMISSA n LULU
Wajamenii mimi napenda tu kuongelea hili jambo kwa ufupi,Hamisa wewe si
wa kwanza na wala si wa mwisho kuachana na mtu,najua inauma but let it
go,ure young n beautiful too,acha kuandika magazeti Instagram inaonyesha
kwajinsi gani unavyoumia plz do not.... achana na makundi ya ajabu ya
kukushawishi fanya hivi fanya vile,kuwa na akili zako lea mwanao hicho
ndio kitu muhimu...usimuonyeshw mtu kuwa uko jappy n yet ure not, yre
pics zinaonyesha kwajinsi gani ulivyokuwa desperate ,acha kuishi
kimaigizo igizo humu act mtu bali ni wewe mwenyewe.... halafu jua
unamchoresha baby dad wako,kuna watu wana matatizo kukushinda na
wametulia kimya hizo kikii unazozitafuta n three years utajutia.
I love u both
I love u both

0 comments:
Post a Comment