Baada
ya kambi ya WCB kuonekana wasanii wake wanapenda kutoka kimapenzi na
wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, uongozi wa kambi hiyo
umelizungumzia swala hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari Alhamisi hii, Mmoja kati ya viongozi wa juu wa kambi hiyo, Babu Tale, amesema ni bahati kwa wasanii wake kupata wanawake waliowazidi umri.
BOFYA HAPA KUONA VIDEO TALE AKIFUNGUKA LIVE
Akizungumza na waandishi wa habari Alhamisi hii, Mmoja kati ya viongozi wa juu wa kambi hiyo, Babu Tale, amesema ni bahati kwa wasanii wake kupata wanawake waliowazidi umri.
BOFYA HAPA KUONA VIDEO TALE AKIFUNGUKA LIVE
Mtume Muhammadi alimuoa bi Khadija. hakuzini wala kuzaa nae mtoto wa nje.Tale usifananishe uzinzi na Dini ya Kiislam, PUMBAVU!
ReplyDelete