Thursday, June 16, 2016

NGE1
Wabunge wa Upinzani wakitoka Bungeni baada ya dua kusomwa na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson Juni 16, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE2Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE3Wageni waliofika Bungeni mjini Dodoma kujionea shughuli  mbalimbali za bunge wakifuatilia kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu  Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE4Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiteta na Mbunge wa Nkansi Kaskazini, Ally Kessy bungeni mjini Dodoma Juni16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE5Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa zamani wa Singida mjini , Mohammed Dewji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE6Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na Mbunge wa zamani wa Singida mjini , Mohammed Dewji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NGE7Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment