Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla ameupongeza mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa jitihada za kutaka kuzifikia kila kaya kwani kufanya hivyo utasaidia wananchi walio katika sekta binafsi na sekta rasmi
Aidha amezindua skimu mpya ya bodaboda ambayo imejumuisha watu wa bajaji na dalaldala ambao kwa kujiunga na kuchangia mfuko huu wanaweza kupata mikopo nafuu na kuweza kumiliki bodaboda kupitia mpango wa bodaboda bila jasho( BBJ)
Amewataka watanzania kote nchini kujiunga na GEOF kwani kila mtanzania ni mstaafu mtarajiwa





0 comments:
Post a Comment