" @BabuTale ni baba ana watoto wengi..Diamond, Madee na wengineo..Kama unajua kuhusu familia lazima watoto wengine watakua wanapendelewa tu..biscuit kila siku wanapewa wao tu"...hilo ni jibu la @TundaMantz akijibu swali kwamba mbona manager wako Tale anaweka attention kwa wasanii wake wengine na sio kama kwako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment