Msanii Chris Brown ameonyesha tattoo ya mtoto wake wa kike kwenye mgongo wake. Tattoo hii imekamilika June 5 2016 na inaonyesha sura ya mtoto wake Royalty.
Chris Brown amekuwa ni mtu tofauti tangia amepata mtoto wake wa kwanza ambaye kwa sasa anamiaka 2 na tayari alitoa album ina jina Royalty.
Kupitia ukurasa wake wa instagram staa huyo ali-post picha inayoonyesha mchoro wa sura ya mwanae Royality na kuandika…. ‘I do what the f*** I want.’
0 comments:
Post a Comment