Thursday, June 9, 2016

Puff-Daddy-Drake-Getty
Studio ya Wasafi Records yasimama kufanya kazi zake kwa muda kutokana na marekebisho yanayofanyika ndani ya studio hiyo, Diamond amethibitisha.
Kupitia akaunti yake ya instagram, Diamond ameandika:
I can’t wait to present to you our @WasafiRecords New Look!…. Still on the Making though😋
(Tumesimamisha huduma za Studio kidogo kwa sasa tunafanya marekebisho ili tuzidi kuwapatia kazi bora na hata muonekano mzuri wa selfie tukiwa kibaruani…. inshaallah siku si nyingi tutakuwa tumemaliza….@WasafiRecordsHouse Of Hits!) @red_interiors.

0 comments:

Post a Comment