Thursday, June 2, 2016

“Ustaa ni mzigo wa mwiba ukiubeba lazima utaumia” Unakumbuka Rapa Fid Q alishaimba hivyo ok  well hii sio siri kwa watu wengi maarufu ambao waliwahi kutamani kuishi kistaa na sasa wanajutia hali hio.
 WCB staa Harmonize naye ameanza kujutia maisha ya ustaa kupitia ujumbe wake instagram kuhusu mategemeo ya maisha ya umaarufu ni tofauti na alivyowazia.

BOFYA HAPA KUONA MANENO YAKE

1 comment:

  1. hii nmeipenda tukibahatika kukutana pale namanga lazima tupige picha ya ukumbusho.

    ReplyDelete