Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Edwin Ngonyani (kushoto)na Katibu Mkuu wa Mawasiliano, Profesa Faustine Kamuzora (kulia) baada ya mazungumzo kati ya wizara hiyo na Viongozi wa kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel, Sunil Colaso ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji (wapili kushoto) na Beartice Singano.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment