Posted by Williammalecela.com on Wednesday, July 27, 2016
MAHAKAMA
kuu ya Tanzania kanda ya Iringa leo imemhukumu kwenda jela miaka 15
askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573
Pacificius
Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari Daudi
Mwangosi wa kituo cha Chanel Ten.
0 comments:
Post a Comment