Datta Phuge
Yule
mwanamume wa India anaependa kuvalia mrundo wa dhahabu hadi kubandikwa
jina The Gold Man ameuawa.Mtu huyo kwa jina Datta Phuge aliwahi kununua
shati mojawapo ghali zaidi duniani kwani lilikuwa la dhahabu.Dhababu ya
shati hilo inasemekana hapo 2013 ilikuwa kilo tatu 3kg na liligharimu
$250,000.
0 comments:
Post a Comment