Friday, July 29, 2016


LEO hii Rais Dr John Magufuli amewafanya waTZ wabaki vinywa wazi pale aliposema kuwa akiafnikisha zoezi la kuhamia DODOMA atapiga bei majengo yote ya Serikali .

Akizungumza katika ziara zake kikazi katika mkoa wa Singida,Rais JPM amesema kuwa atahakikaisha anayauza majengo yote ya Serikali ambayo yatabaki jijini DSM.



0 comments:

Post a Comment