Monday, July 4, 2016

Habari tulizozipata hivi punde kutoka Singida ni kwamba mabasi mawili ya kampuni ya City Boys yamegongana katika eneo la Maweni.

Taarifa za awali zinasema kuwa watu zaidi ya 20 wamepoteza maisha papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa..
Ajali hiyo hiyo imetokea mchana huu ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Singida amesema ajali hiyo imetokea wakati mmoja wa madereva akifanya mchezo wa kukwepesha  gari.


IMG-20160704-WA0027
.
IMG-20160704-WA0026 IMG-20160704-WA0028 IMG-20160704-WA0029 IMG-20160704-WA0031 IMG-20160704-WA0033 IMG-20160704-WA0036 IMG-20160704-WA0038
IMG-20160704-WA0024



0 comments:

Post a Comment