Posted by Williammalecela.com on Sunday, July 24, 2016
1 comment
Lugha ya Kingereza imekuwa shida sana kwa wasanii wengi hapa Bongo lakini mwanadada mrembo Shilole ameamua kuweka aibu pembeni na kujifunza lugha hiyo huko akifanya mizaa kupitia mdandao wa Instagram Mtanzame Hapa Akiongea na Mwalimu wake kwa simu:
Yah sio kingereza. Yes ni kingereza. !!You give me hard time!!
ReplyDeleteHuyo mwalimu wako...