Jina la Masanja Mkandamizaji si geni sana masikioni mwa wengi,hii nikutokana na shughuli zake hasa za uchekeshaji kupitia kipindi cha Orijino Komedi,
Kupitia Ukurasa wake wa twitter,Masanja 'amewachana ' wanawake wanaopenda kuhamahama mikoa bila sababu ya msingi,huku akiwatahadharisha kuwa watakosa waume
Mama: Kazi yako kuhama mikoa kila kukicha, utakosa mume.— MASANJA (@mkandamizaji) July 6, 2016
Ukiangalia mama anatokea Arusha, baba mtu wa Mtwara unajiuliza wao walikutana vipi

0 comments:
Post a Comment