Wednesday, July 13, 2016


Aliyekuwa mke wa Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ambaye pia ni msanii wa filamu, Faiza Allyamefunguka na kuelezea historia yake jinsi alivyokutana na Sugu mpaka sababu iliyopelekea kutengana kwao.
‘Kwanza mimi na Sugu tulikutana kwenye mtandao wa Facebook tukapendana mwaka 2011 nimekuwa nikivaa kama ninavyovaa nimekuwa nikiishi kama ninavyoishi ‘- Faiza Ally


‘Maana sasa hivi naona watu wanaongea mengi eti mimi niliachwa kwasababu ya nguo hapana kwasababu hiyo ndio life style yangu aliyonikuta nayo, Kwahiyo tukapenda tukazaa mtoto tukajenga nyumba yetu yaani tumeanza maisha japokuwa nimemkuta mbunge’– Faiza Ally

0 comments:

Post a Comment