Thursday, July 28, 2016

machangu (4)Madada poawakijiuza.
Na Waandishi Wetu, AMANI
”Kama serikali yote inahamia Dodoma kwenye makao makuu ya nchi, ina maana hapa Dar hakutakuwa na maana tena! Wateja wote ni Dodoma sasa sisi tunasubiri nini? Na sisi tunahamia
Dodoma,” ndivyo alivyosikika dadapoa mmoja aliyegoma kutaja jina lake, lakini kijiwe chake kikiwa maeneo ya Sinza Afrikasana, Dar.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment