Thursday, July 21, 2016

Mama mzazi wa Wema, Mariam Sepetu
AR ES SALAAM: Mbunifu wa mitindo mbalimbali ya nguo kama ‘Kwachukwachu’ na nyingine, Martin Kadinda ambaye pia ni meneja wa staa mwenye nyota kali Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, inaonesha kibarua hicho kimeota mbawa na nyuma yake kuna mazito.
YASEMEKANA HAJAFANYA CHOCHOTE KWA WEMA
Habari ambazo zimenyetishwa kutoka familia ya akina Wema zinadai kuwa walikuwa wanakereka na aina ya umeneja anaouendesha Kadinda katika kampuni ya Wema ya Endless Fame na kwamba mara nyingi walikuwa wakiona kuwa yeye ndiye anajinufaisha zaidi kuliko Wema katika nyanja zote za kuingiza kipato.

BOFYA HAPA KUOSM ZAIDI

0 comments:

Post a Comment