Mchungaji
wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar es Salaam, Anthony
Lusekelo maarufu ‘Mzee wa Upako’ amesema kitendo cha viongozi wa CCM
kulitaja zaidi jina la Edward Lowassa katika Mkutano Mkuu Maalumu wa
chama hicho ni ishara kuwa Waziri Mkuu huyo wa zamani ni tishio.
“Nani!
Lowassa…. jina lake kutajwa sana katika vikao vya CCM. Hiyo inaashiria
kuwa ni mtu tishio. Ndiyo ni tishio,” alisema Lusekelo jana katika
mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment